Home Makala Lamine Aipaisha Yanga Moro

Lamine Aipaisha Yanga Moro

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc imefanikiwa kusepa na pointi tatu leo katka uwanja wa Jamuhuri uliopo jijini Morogoro baada ya kuwapa kichapo cha bao 1-0 Mtibwa Sugar kupitia kiungo wao mpya Lamine Moro.

Lamine alipachika bao la ushindi dakika ya 61 kupitia kona iliyopgwa na Carlos Carlinhos na kuibua shangwe kwa mashabiki baada ya bao hilo kudumu hadi dakika 90 za mchezo zilipokamilika.

Mechi ya leo inakamilisha mzunguko wa nne wa ligi kuu japo haukuwa mpira wa kiufundi kutokana na uwanja kutokuwa mzuri.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited