Home Makala Majeraha Yamkosesha Neymar Kumshambulia Nantes Leo

Majeraha Yamkosesha Neymar Kumshambulia Nantes Leo

by Sports Leo
0 comments

Raia wa Brazil Neymar Jr ambaye anaichezea timu ya Paris Saint-Germain (PSG) kama mshambuliaji ataukosa  mchezo wa Ligue 1 utakaochezwa leo dhidi ya Nantes kutokana na majeruhi aliyoyapata.

Dakika 90 za  mchezo wao uliopita dhidi ya Montpellier, Paris Saint German walikubali kupewa kichapo cha mabao 5-0 na kuangukia kumpata Neymar kama majeruhi.

PSG kwa sasa ipo nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligue 1 ikiwa imecheza jumla ya mechi 22 na pointi 55 huku mpinzani wake Nantes ipo nafasi ya tisa ikiwa na pointi 32 imecheza pia mechi 22.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited