Home Makala Mbeya City Yavuta Mwingine

Mbeya City Yavuta Mwingine

by Sports Leo
0 comments

Rasmi Klabu ya Mbeya City imekamilisha usajili wa Touya Jean Didier, mshambuliaji kutoka Burundi aliyekua akichezea Musanse FC ya nchini kwao Burundi.

Timu hiyo ipo katika kujiimarisha na tayari imemnasa David Mwasa kutoka Kmc kwa mkopo huku pia imekamilisha usajili wa Yayo Kato Lutimyba, beki wa kushoto kutokea Sports Club Villa ya Uganda. Pia, Yayo ni mchezaji nyota wa Ugandan the Cranes (Timu ya Taifa ya Uganda).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited