Home Makala Mchonganishi Simba ,Yanga Anukia Morocco

Mchonganishi Simba ,Yanga Anukia Morocco

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Polisi Tanzania,Baraka Majogoro anayewindwa na Simba, Yanga na Azam FC huenda akasepa zake na kuibukia Morocco kukipiga kwenye soka la kulipwa kwani kuna timu moja imeingia kwenye 18 za kuisaka saini ya nyota huyo.

Majogoro msimu huu amekuwa kwenye ubora wake hata amekuwa akizichonganisha Simba na Yanga ambazo zote zinahaha kuipata saini yake.

Kiungo huyo anachotazama zaidi ni nafasi yake ya kucheza kwanza na tayari  ameanza mazungumzo na klabu ya Youssofia Berrechid ya huko Morocco hivyo mambo yakijibu anaweza kusepa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited