Home Makala Mwenyekiti Simba Awania Ubunge Kinondoni

Mwenyekiti Simba Awania Ubunge Kinondoni

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa mwenyekiti ndani ya Simba Sc ,Swedi Mkwabi ametia nia katika uchukuaji wa fomu ya kuwania ubunge wa jimbo la Kinondoni jijini Dar-es-salaam ,siku ya leo katika ofisi za chama cha mapinduzi (CCM) zilizopo Mkwajuni.

Mkwabi alilazimika kuachia nafasi hiyo ya uwenyekiti Septemba mwaka jana baada ya kuwa na mambo mengi yaliyomfanya kuwa bize zaidi ya kuitumikia klabu hiyo.

“Nimechukua uamuzi huu kwa sababu ni haki yangu ya kikatiba kama mwananchi na mwanachama wa chama cha mapinduzi ,nimejipima na kuona natosha katika nafasi hiyo ya kuwawakilisha wananchi wa Kinondoni”alisema Mkwabi

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited