Home Makala Yanga Kuifuata Mtibwa Sugar Leo

Yanga Kuifuata Mtibwa Sugar Leo

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha Yanga Sc kinachonolewa na kocha mkuu, Zlatko Krmpotic kinatarajia kuanza safari yake leo kueleleka Morogoro kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa uwanja wa Jamhuri, Septemba 27, Jumapili.

Yanga sc inawafuata Mtibwa ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 mbele ya Kagera Sugar hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu.

Huku pia Mtibwa Sugar ikiwakaribisha Yanga kwa mara ya kwanza ndani ya msimu wa 2020/21 ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 mbele ya Ihefu mchezo uliochezwa uwanja wa Sokoine.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited