Simba Sc Yafungwa na Wajelajela
Klabu ya Simba sc imekubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tanzania Prisons Fc katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ikiwa ni mchezo wa raundi ya 16 wa klabu hiyo. Uamuzi wa Mwalimu Abdelhack Benchika kuwapumzisha Mohamed Hussein,Ayoub Lakred,Che Fondoh Malone ulimtokea puani baada ya Samson Mbangula kufunga mabao mawili katika mchezo…
