Home Soka Abarola Aitwa Black Stars

Abarola Aitwa Black Stars

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa timu ya taifa ya Ghana Kwesi Appiah amemwita mlindamlango wa klabu ya Azam FC ya Tanzania,Razak Abalora kwenye kikosi cha timu yake kwa ajili ya mechi za kufuzu za AFCON mwezi ujao.

Kipa huyo aliyesajiliwa Azam fc misimu miwili iliyopita kuchukua nafasi ya Aishi Manula atakuwa na fursa ya kuichezea Ghana itakapocheza mechi mbili mwezi Ujao dhidi ya Afrika Kusini na Sao Tome na Principe.

Walinda milango wengine waliotwa ni Richard Ofori (Maritzburg FC, South Africa) na Felix Annan (Asante Kotoko, Ghana).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited