Home Soka Azam Wala Kibano TFF

Azam Wala Kibano TFF

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuchelewa kutoka uwanjani hata Kamishna alipowaita walikaidi amri ya kutoka vyumbani na golikipa wa timu hiyo kuchelewa zaidi na alipofika uwanjani kushindwa kuwapa mikono timu pinzani (Coastal Union) kwenye mchezo uliofanyika February 15, 2020 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 14(43) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo ambapo kosa hilo lilitendeka katika Mechi namba 218- Azam FC 1 vs Coastal Union FC 2 mchezo uliofanyika katika uwanja wa Azam Complex.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited