Home Soka Boko Asaini Miwili Simba

Boko Asaini Miwili Simba

by Sports Leo
0 comments

Mshambualiaji wa Simba Sc John Boko amesaini kandarasi ya miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo baada ya ule wa awali kufikia kikomo msimu.

Mshambualiaji huyo aliyejiunga simba akitokea Azam Fc miaka miwili iliyopita amesaini mkataba huo mbele ya bilionea Mohamed Dewji taarifa ambayo imethibitishwa na Simba kupitia mtandao wa klabu hiyo wa Twitter na Instagram.

Boko amesaini simba huku taarifa zikidai waajiri wake wa zamani walikua wakimmezea mate ili kumrudisha katika timu hiyo mchezaji huyo aliyefunga zaidi ya mabao 30 klabuni hapo msimbazi

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited