Home Soka Cavani Aliichomolea Juve

Cavani Aliichomolea Juve

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United Edson Cavani amefunguka jinsi alivyokataa kujiunga na timu mbalimbali duniani ili ajiunge na Manchester United.

Mshambuliaji huyo aliyemaliza mkataba wake katika klabu ya Paris st.Germans anasema klabu mbalimbali barani ulaya ikiwemo Juventus zilionyesha nia ya kumsajili lakini hakupokea simu za timu hizo anasema.


“Nilisema hapana kuviambia vilabu vingi vya Italia ikiwemo Juventus, ambao walinipigia simu mara nyingi, na Inter pia”Alisema Cavani

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited