Home Soka Corona Yaua Rais Marseille

Corona Yaua Rais Marseille

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa rais wa zamani wa klabu ya soka ya Marsielle ya nchini Ufaransa  Pape Diouf amepoteza maisha baada ya kuambukizwa corona akiwa na miaka 68.

Alikuwa raisi wa klabu ya Marseille tokea 2005-2009. Katika uongozi wake klabu ilifanikiwa kumaliza nafasi ya 2 (2006 & 2009.)

Diouf alikuwa mwandishi wa habari kutoka Senegal na kuhamia Marrseille akiwa na miaka 8 ndipo alipoanza kazi yake ya uandishi kwenye gazeti la jiji na Baadae aliamua kuwa wakala wa wachezaji. Alikuwa wakala wa Basile Boli, Joseph Antoine Bell na wengineo.

banner

Aliisaidia Marseille kunyakua kumaliza nafasi ya pili kwenye ligi mwaka 2006 na kwa mara ya kwanza tokea 1998 huku pia Akiisaidia pia kunyakua ubingwa wao kwanza kwa kipindi cha miaka 10.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited