Home Soka Dilunga Anukia Bondeni

Dilunga Anukia Bondeni

by Sports Leo
0 comments

Staa wa klabu ya Simba Hassan Dilunga huenda akaachana na timu hiyo baada ya kupata ofa za kucheza nje ya nchi huku mkataba wake na klabu hiyo ukielekea ukingoni.

Imebainika kwamba staa huyo amepata ofa nono kutoka Afrika ya Kusini katika timu ya ligi kuu huku pia akiwa na ofa kutoka Uarabuni.

Dilunga amekua na msimu mzuri katika klabu hiyo baada ya kusaidia kupachika mabao na kutoa assisti kwa wenzake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited