Home Soka Henry,Bergkamp Kuinunua Arsenal

Henry,Bergkamp Kuinunua Arsenal

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji wa zamani wa Arsenal Thierry Henry, Dennis Bergkamp na Patrick Vieira wamejiunga na mwanzilishi wa mtandao wa Spotify , bilionea Daniel Ek katika kuwaslisha ombi la kutaka kuinunua Arsenal.
Mmiliki wa klabu hiyo Stan Kroenke hana lengo la kuiuza klabu hiyo , lakini zaidi ya mashabiki 1000 walifanya maandamano nje ya uwanja wa Emirates RYsiku ya Ijumaa wakimtaka kuiuza.
Arsenal ilikuwa imetangaza kwamba ni miongoni mwa klabu 12 zilizojiunga na Ligi ya Ulaya ya European Super league Jumapili iliopita Lakini saa 48 baadaye , walijiondoa na kuomba msamaha kwa mashabiki.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited