Home Soka Ibenge Aanza na Ushindi

Ibenge Aanza na Ushindi

by Sports Leo
0 comments

Kocha mpya wa klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco Florent Ibenge ameanza mechi yake ya kwanza kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ittihad Tanger katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Morocco Botola Pro.

Kocha huyo alijiunga na klabu hiyo akitokea As Vita Club ya DR Congo siku chache zilizopita ambapo alidumu klabuni hapo kwa miaka tisa akiipa mataji mbalimbali huku pia ikidaiwa analipwa zaidi ya shilingi milioni 100 kama mshahara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited