Home Soka Kalengo,Bigirimana Warejea Kwao

Kalengo,Bigirimana Warejea Kwao

by Sports Leo
0 comments

Iko hivi mastaa wawili wa klabu ya Yanga Mybin Kalengo na Issa Bigirimana wamerejea nchini kwao kwenda kujiuguza majereaha waliyoyapata wakati wakiitumikia timu hiyo hapa nchini.

Kalengo amerejea nchini Zambia baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu alioumia wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Pamba mkoani Mwanza huku Bigirimana anaendelea na matibabu ya nyama za paja ambazo zinamsumbia kwa muda mrefu.

Mastaa hao wote wameshindwa kuitumika timu hiyo kwa muda mrefu baada ya kusumbuliwa na majeraha na hivyo kuweka rehani nafasi zao kikosini humo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited