Home Soka Kejeli Zamponza Zahera

Kejeli Zamponza Zahera

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kupigwa faini na bodi ya ligi baada ya kutovaa nadhifu,Kocha wa Yanga sc Mwinyi Zahera amefungiwa kutokaa katika benchi la timu hiyo katika mechi tatu mfululizo.

Adhabu hiyo imetolewa baada ya kocha huyo kutoa maneno ya kejeli kwa bodi ya ligi wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya mchezo dhidi ya Ruvu shooting ambapo timu yake ilipoteza kwa bao 1-0.

Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa kanuni ya 41(9) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Makocha ikiwa ni moja ya kanuni ambazo zinaongoza ligi kuu inayodhaminiwa na Vodacom.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited