Home Soka Kikosi TP Mazembe Simba day chatajwa

Kikosi TP Mazembe Simba day chatajwa

by Sports Leo
0 comments

Mabingwa wa soka Tanzania Simba sc kupitia ukurasa wake wa Instagram imetoa orodha ya wachezaji wa mabingwa wa DR Congo TP Mazembe kitakachotua kuwavaa Simba katika mchezo wa kirafiki katika tamasha la Simba day.

Awali kulikuwa na wasiwasi juu ya ujio wa Mazembe katika kilele cha tamasha hilo kutokana na ratiba ya ligi kuu ya Congo kuanza wikiendi kuanza wikiendi ambayo mchezom huo umepangwa kufanyika.

Hata hivyo bado kuna mashaka kama kikosi kilichotajwa ndio kikosi tegemezi cha timu hiyo kwani hata mshambuliaji Mtanzania Thomas Ulimwengu hayupo katika orodha hiyo.

banner

Kikosi kamili

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited