Home Soka Magori Afunguka Simba sc

Magori Afunguka Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Aliyewahi kuwa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu ya Simba kwa Sasa Mshauri wa Mohamed Dewji Mo (Mwekezaji wa Simba), Crescentuis Magori amesema ndani ya Klabu ya Simba Kuna wachezaji wanaihujumu timu hiyo ili kocha aonekane hafai.

Magori amedai kucheza vibaya kwa Simba sio sababu ya Kocha ni makusudi ya baadhi ya wachezaji. Magori amesema yupo kwenye Mpira wa Tanzania kwa muda mrefu anajua kinachofanyika Simba ili kumkomesha kocha na CEO mpya wa Klabu ya hiyo.

Magori ameongeza kuwa kwa Simba ya Sasa inaweza ikacheza bila hata kuwa na kocha na ikacheza vizuri na ikashinda michezo yake Ila kwa inavyoonekana watu wanamlau moja kwa moja kocha bila kujua na ameuomba Uongozi wa Simba alifanyie kazi tatizo hilo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited