Home Soka Manara Ahimiza Ushirikiano

Manara Ahimiza Ushirikiano

by Sports Leo
0 comments

Mkuu wa idara ya habari ya Simba sc Haji Manara amehimiza ushirikiano wa mashabiki wa soka nchini kuelekea katika michezo ya marudiano ya klabu bingwa Afrika na ile ya kombe la shirikisho.

Manara amesisitiza hayo kuelekea katika mechi hizo ambapo Azam itavaana na Fasil Kanema ya Ethiopia huku Kmc itawakaribisha As Kigali katika mechi za marudiano zitakazo fanyika nchini huku Simba ikiwakaribisha Ud Songo katika ligi ya mabingwa.

Katika mkutano na waandishi wa habari pia manara amesisitiza umuhimu wa mashabiki kusapoti timu za nyumbani bila kujali ni timu gani inacheza bali kuweka mbele utaifa.

banner

Simba inajiandaa na mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam fc mchezo utakaopigwa siku ya jumamosi saa moja usiku.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited