Home Soka Mashuti Kwanza-Zlatko

Mashuti Kwanza-Zlatko

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu Yanga Zlatko Krmpotic amekuwa akiwahimiza wachezaji wake kupiga mashuti makali wanapokaribia katika lango la wapinzani.
Katika kulithibitisha hilo timu hiyo imeanza majatibio ya kupiga mashuti hayo kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Mlandenge ya Zanzibar.
Akizungumzia hilo kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Mkoko Tonombe amesema :-
“Unaona kila wakati tunaangalia mbele anataka kuona tunapiga pasi zinazofika ukiweza kupiga ndefu zaidi ni hatua nzuri lakini iwe na uhakika,”alisema Tonombe.
“Anataka pia tupige mashuti pale tunapopata nafasi ya kupiga nafikiri ni kocha mzuri anayelenga kutaka matokeo nafurahi kufanya naye kazi.”
Chanzo:Sportsextra

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited