Home Soka Morrison,Yanga Utata Mtupu

Morrison,Yanga Utata Mtupu

by Sports Leo
0 comments

Sintofahamu imeibuka katika klabu ya Yanga sc baada ya staa wa timu hiyo Benard Morrisson kutosafiri na timu huku ripoti zikidai kwamba staa huyo amezima simu.

Taarifa za ndani zinadai kwamba staa huyo hafurahishwi na jinsi mambo yanavyoendeshwa klabuni humo ikiwemo suala la timu kusafiri umbali mrefu kwa basi kuelekea mkoani Shinyanga.

Hata hivyo baadhi ya taarifa zinasambaa kuwa mkataba wa staa huyo unaisha wiki ijayo na anataka asainishwe mpya kama walivyokubaliana kwa kiasi cha dola elfu sabini ambazo anataka alipwe kwa wakati mmoja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited