Home Soka Msuva Atua Wydad Casablanca

Msuva Atua Wydad Casablanca

by Sports Leo
0 comments

Winga wa Kitanzania Simon Msuva ametua kunako klabu ya Wydad Casablanca akitokea katika klabu ya Difaa El-Jadid kwa mkataba wa miaka minne.

Msuva alijiunga na Difaa akitokea Yanga sc mwaka 2017 na baada ya kucheza kwa mafanikio makubwa winga huyo mwenye kasi anatua katika klabu hiyo ya Wyadad ambayo ina mafanikio makubwa katika soka la ndani nchini Morroco na Afrika kwa ujumla.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited