Home Soka Mukoko,Yanga Mahaba Tele

Mukoko,Yanga Mahaba Tele

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Kimataifa wa Congo anayekipiga Katika klabu ya Yanga Africa ya Dar es Salaam Tanzania Mukoko Tonombe Amesema anaipenda Sana Yanga

Ameyasema hayo kupitia Mtandao wake wa Kijamii wa Instagram Ambapo alikuwa live Huku akitumia Lugha ya Kiswahili Ambayo inaonekana bado hajaifahamu Vizuri kwa Asilimia 100.

“Naipenda Sana Yanga Mimi, Simba hapana kabisa Sina Mpango” Ameongeza kuwa anaitakia Kheri Timu ya Taifa Ya Tanzania Taifa Stars.

banner

Kiungo huyo wa shoka amesema anaamini Tanzania itashinda Kuanzia bao Mbili Huku akimbashiria Kiungo Feisal Salum Kufunga bao Katika mchezo wa leo.

Habari na Mitandao ya kijamii.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited