Home Soka Ndugai Aitembelea Stars

Ndugai Aitembelea Stars

by Sports Leo
0 comments

Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amewatembelea wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa stars) katika hotel yao waliyoweka kambi nchini Misri Kujiandaa na Michuano ya mataifa ya Afrika (Afcon 2019).

Kiongozi huyo wa chombo kikuu cha kutunga sheria nchini alitembelea kambi hiyo na kuonana na wachezaji na viongozi wa timu hiyo akiwemo kocha mkuu Emmanuel Amunike.

Tanzania imefanikiwa kufuzu michuano hiyo mikubwa barani afrika baada ya miaka 39 kupita tangu washiriki kwa mara ya mwisho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited