Yanga SC Yaifuata Mtibwa Bila Dube-www.sportsleo.com

Yanga SC Yaifuata Mtibwa Bila Dube: Changamoto na Mikakati ya Ligi Kuu ya NBC

Yaliyomo (Table of Contents) Utangulizi Kikosi cha Yanga SC kimeanza safari kuelekea Dodoma kupitia Dar es Salaam kikitokea Arusha, huku kikijiandaa kwa mchezo muhimu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Machi 21, 2026. Safari hii inakuja wakati timu inakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na wachezaji wake kadhaa walio nje kwa majeraha….

Soma Zaidi
Screenshot 20250613 095816 Instagram

Serikali Yaongeza Kodi Kwenye Mikeka

Serikali imeongeza kiwango cha kodi kwa washindi wa michezo ya kubashiri (Betting) kwenye bajeti ya serikali kuu iliyosomwa jana bungeni ili kuongeza mapato kwa serikali. Waziri wa Fedha Dkt.Mwigulu Nchemba amesema kuwa  Ongezeko la kiwango hicho cha fedha kitakachopatikana, asilimia 70 itaenda katika mfuko wa serikali kupambana na Ukimwi na asilimia 30 kuchangia mfuko wa…

Soma Zaidi
Screenshot 20250611 141935 Instagram

Serikali Yajiweka Pembeni Sakata la Derby

Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma imesema kuwa haiwezi kuingilia mgogoro unaoendelea kuhusu mechi ya Darby kati ya Simba na Yanga kutokana na kuwepo mamlaka inayosimamia soka nchini ambayo ni Shirikisho la soka (TFF) Mwinjuma amesema hayo bungeni jijini Dodoma mapema hii leo  wakati akijibu swali la nyongeza la…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks