Home Soka Prince Dube Avunjika Mkono

Prince Dube Avunjika Mkono

by Sports Leo
0 comments

Habari mbaya kwa mashabiki wa Azam Fc ni kuumia kwa mshambuliaji raia wa Zimbabwe Prince Dube jana katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga sc uliofanyika katika uwanja wa chamazi.

Dube alitolewa uwanjani dakika ya 18 ya mchezo ambapo baada ya uchunguzi wa kina imegundulika kuwa staa huyo amevunjika mkono na ataenda kutibiwa nchini Afrika ya Kusini.

Dube licha ya kutofunga katika mechi sita hivi sasa,tayari ameshafunga mabao 6 katika ligi kuu Tanzania bara na kuipelekea Azam Fc kuwa na alama 25 katika nafasi ya pili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited