Home Soka Simba Sc yashusha kiungo fundi

Simba Sc yashusha kiungo fundi

by Sports Leo
0 comments

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba sc imemsajili kiungo mshambuliaji kutoka klabu ya Teungueth ya Senegal Pape Ousmane Sakho raia wa Senegal.

Kiungo huyo alifanikiwa kucheza hatua za makundi za klabu bingwa Afrika akiwa na kikosi cha Teungueth amabyo iliingia makundi baada ya kuwashangaza Raja Casablanca katika hatua ya mtoani.

Katika michuano hiyo Sakho alicheza michezo 10 akifunga goli moja na akitoa pasi za usaidizi 2 na atajiunga mara moja na waajiri wake wapya huko Morocco walikoweka kambi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited