Home Soka Sportpesa Yawatega Simba,Yanga sc

Sportpesa Yawatega Simba,Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa Sportpesa Tanzania  Abbas Tarimba amesema mwaka huu (2020) hakutakuwa na Mashindano ya Sportpesa kutokana na kuyumba kwa uchumi wa kampuni hiyo kulikotokana na mlipuko wa Corona.

Pia Mkurugenzi huyo amebainisha hawana uhakika kama wataongeza mikataba mipya ya udhamini katika klabu za Simba sc, Yanga sc na Namungo sababu ikiwa ni kuyumba kwa uchumi kwa kampuni hiyo sababu ya Corona.

Ikumbukwe nchini Kenya kampuni hiyo ilijitoa kudhamini baadhi ya klabu ikiwemo klabu bingwa mara (19) ya ligi ya Kenya Gormahia na kusababisha kuyumba vibaya kwa uchumi wa vilabu hivyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited