Home Soka Wanajeshi Wampasua Kichwa Zahera

Wanajeshi Wampasua Kichwa Zahera

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha wa Yanga sc Mwinyi Zahera ameipa umuhimu mkubwa mechi ya ufunguzi ya ligi kuu dhidi ya Ruvu shooting itakayochezwa siku ya jumatano wiki hii huku akiachana na mipango yote ya mechi ya klabu bingwa dhidi ya Zesco united.

”Hatuwezi kuweka akili zetu kwenye mchezo dhidi ya Zesco wakati tuna majukumu ya ligi mbele yetu,tunawaheshimu sana wapinzani wetu kwenye ligi hata michuano ya ligi ya mabingwa kikubwa ni hatua moja kufuata nyingine sasa tunaangalia Ruvu shooting zaidi”.

Aidha timu hiyo imeshindwa kuingia kambini moja kwa moja baada ya kuwapa wachezaji mapumziko ya siku moja ili kupumzisha miili yao kabla ya kuanza maandalizi ya mechi hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited