Home Soka Yanga sc Kukata Rufaa

Yanga sc Kukata Rufaa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc inakusudia kukata rufaa kupiga adhabu aliyopewa makamu mwenyekiti wa klabu hiyo Fredrick Mwakalebela ya kufungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka mitano pamoja na faini ya shilingi milioni 7 za kitanzania.

Mkuu wa Idara ya Habari ya klabu hiyo Hassan Bumbuli alithibitisha kuhusu suala hilo ambapo wanasubiri nakala ya hukumu ili kukata rufaa.

“Tumechelewa kukata rufaa kwa kuwa tulikuwa tunasubiri muongozo wa TFF, lakini kama klabu hatujakubaliana na adhabu hiyo kwa makamu mwenyekiti wetu,” amesema Bumbuli.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited