1996269328 scaled

Mastaa Afcon Kuoga Noti

Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara na Rais wa Nigeria, Bola Tinubu wametoa zawadi kwa wachezaji wa timu zao za Taifa ambazo zilicheza Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika iliyomalizika siku ya Februari 11 nchini Ivory Coast. Baada ya wenyeji wa michuano hiyo timu ya Ivory Coast kuibuka mabingwa wa michuano hiyo kwa kuifunga…

Soma Zaidi
1996269328 scaled

Ivory Coast Mabingwa Afcon 2023

Timu ya Taifa ya Ivory Coast wameibuka mabingwa wa kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Nigeria kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali ambapo takribani nchi zote za Afrika zilikua zinashuhudia michuano hiyo kupitia vyanzo mbalimbali vya habari. Haikutabiriwa na wengi kuwa wenyeji wataibuka mabingwa kutokana na kuanza kwa kusuasua katika hatua ya…

Soma Zaidi
82206167997

Ivory Coast hao Fainali

Licha ya kuanza kwa kusuasua kamamwenyeji katika michuano ya mataifa ya Afrika timu ya Ivory Coast imefanikiwa kufuzu hatua ya Fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga DR Congo kwa bao 1-0 katika mchezo mkali wa nusu fainali. Licha kupiga mashuti 14 langoni mwa Congo DR ni mashuti mawili tu yalilenga lango na moja kuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks