Mamelod Sundowns Yatwaa AFL
Klabu ya soka ya Mamelod Sundowns imefanikiwa kuweka rekodi ya kutwaa taji la African Football League ikiwa ni mara ya kwanza michuano hiyo kufanyika baada ya kuifunga Wydad Athletic Club kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali wa pili uliofanyika nchini Afrika ya kusini. Katika mchezo wa kwanza nchini Morroco Mamelod ilikubali kipigo cha mabao…
