448177703 1022234315929166 4241460070452191110 n

Yanga sc Yapata Hasara 1bn

Klabu ya Yanga sc imepata hasara ya bilioni moja katika msimu uliopita wa 2023/2024 kutokana na mapato yake kutokidhi mahitaji na hivyo kuzidiwa na matumizi ya klabu hiyo kwa ujumla. Akizungumza katika Mkutano mkuu wa klabu hiyo, Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Sabri Sadick amesema msimu uliopita 2023/24 mapato yalikuwa ni Sh21 bilioni, huku matumizi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks