Manula Mguu Ndani Yanga Sc
Kipa mkongwe Aishi Manula yupo mbioni kujiunga na klabu ya Yanga Sc kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu na michuano ya Kimataifa baada ya makubaliano ya pande zote kuanza kufanyika. Manula anasubiri msimu umalizike ili aondoke msimbazi ambapo ameshakosa nafasi ya kucheza huku pia mkataba wake ukielekea mwishoni na mchezaji mwenyewe hana tena…
