simba pic

“Naitaka Nusu Fainali” Benchika Atamba

Kocha wa klabu ya Simba sc Abdelhack Benchika ametamba kuwa anataka kikosi hicho kifuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika ambapo leo usiku wataivaa Al Ahly Fc katika mchezo utakaofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Benchika amesema hayo wakati wa mkutano na vyombo vya habari kuelekea…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks