Screenshot 20240919 205748 Facebook

Al Ahly Tripoli Wawasili Nchini

Timu ya Al Ahli Tripoli ya nchini Libya tayari imewasili salama jijini Dar es Salaam kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Simba SC mchezo utakaofanyika katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa. Klabu hiyo imekuja kwa tahadhari kubwa kutokana na kuhofia usalama wao hapa nchini ambapo baada ya kuwasili wamepokelewa na kampuni binafsi ya mabaunsa ilikulinda…

Soma Zaidi
Screenshot 20240917 145035 Instagram

Simba Sc Yawapagawisha Waarabu

Kufuatia kupata Suluhu dhidi ya Klabu ya Simba Sc katika mchezo wa kwanza wa hatua ya pili ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika mastaa wa klabu ya Al ahly Tripol wamechanganyikiwa kutokana na matokeo hayo. Licha ya kucheza mbele ya mashabiki wao waliojaa kwa wingi uwanjani hapo lakini hawakuamini macho yao baada ya…

Soma Zaidi
FB IMG 1724125383934

Simba Sc Kukipiga na Al Hilal Fc

Klabu ya Simba Sc inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Klabu ya Al Hilal Fc ya nchini Sudan utakaofanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa Kmc Complex tarehe 31 August. Kocha Fadlu Davis anatarajiwa kuutumia mchezo huo kukiweka imara kikosi chake kabla ya kuvaana na Al Ahly Tripoli ya Libya katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks