gamondi pic

Gamondi Anukia Apr Rwanda

Kocha wa zamani wa klabu ya Yanga sc raia wa Argentina mwenye umri wa miaka 58 Miguel Ángel Gamondi ameripotiwa kufanya mazungumzo na APR FC ya nchini Rwanda kwa ajili ya kuinoa klabu hiyo msimu ujao. Ripoti kutoka nchini humo zinasema kuwa tayari makocha 38 wametuma maombi ya kazi katika klabu hiyo baada ya mchakato…

Soma Zaidi
Screenshot 20241115 193310 Instagram

Gamondi Anukia Apr ya Rwanda

Kwa mujibu wa taarifa nyingi kutoka Kigali nchini Rwanda inaelezwa aliyekua kocha wa klabu ya Yanga sc Miguel Gamondi upo uwezekano akajiunga na APR ya Rwanda ambapo mazungumzo yameanza ili kukamilisha dili hilo. Katika mazungumzo ambayo kwasasa yapo katika hatua za awali kuona kama kuna uwezekano wa Miguel Gamondi kujiunga hiyo inayomilikiwa na Jeshi la…

Soma Zaidi
FB IMG 1724572970255

APR Yaitoa Azam Fc Caf

Klabu ya Azam Fc imekubali kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo wa marudiano wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika hatua ya awali uliofanyika katika uwanja wa Amahoro jijini Kigali na kufuta ndoto za klabu hiyo za kushiriki hatua ya makundi ya michuano hiyo. Azam Fc ilihitaji ushindi ama sare ya aina yeyote ili kufuzu…

Soma Zaidi
FB IMG 1724411602093

Azam Fc Yawasili Rwanda

Msafara wa kikosi cha timu ya Azam fc umewasili salama nchini Rwanda kwa ajili ya mchezo wa pili wa  hatua za awali za michuano ya klabu bingwa barani Afrika dhidi ya APR Fc ya nchini humo. Kikosi cha Azam Fc kimewasili nchini humo siku ya alhamis na mapema leo ijumaa kimeanza mazoezi kuikabili klabu hiyo…

Soma Zaidi
FB IMG 1724126881178

Azam Fc Yailaza Apr 1-0

Klabu ya Azam Fc imeanza michuano ya kombe la Klabu bingwa barani Afrika kwa ushindi kiduchu wa 1-0 dhidi ya Apr ya Rwanda katika mchezo wa hatua ya awali ya michuano hiyo uliofanyika katika uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam. Ikianza na kikosi chake kinachoonekana ndio cha kwanza kikiwa na mastaa kama…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks