Azam Fc Yakubali Kipigo Caf
Azam FC wameanza kwa mtikisiko safari yao ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kukumbana na kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa AS Maniema Union kwenye Uwanja wa Stade des Martyrs, Kinshasa,Licha ya matarajio na matumaini waliyokuwa nayo kabla ya mchezo, kikosi cha Chamazi kilionekana kulegalega katika maeneo muhimu na…
