Screenshot 20251003 204353 Instagram

Bacca Afungiwa Ligi Kuu

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu kama Kamati ya Saa 72 imemfungia mchezaji wa Klabu ya Yanga SC, Ibrahim Hamad Bacca, kutoshiriki michezo mitano ya Ligi Kuu Bara kufuatia rafu mbaya aliyomchezea mchezaji wa Mbeya City, Ibrahim Ame. Tukio hilo lilitokea katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 420357904 899772995265732 4397582264428004745 n 1024

Bacca Gumzo Afcon 2024

Beki wa klabu ya Yanga sc Ibrahim Bacca amekua gumzo katika michuano ya mataifa ya Afrika ambayo inaendelea nchini Ivory Coast ambapo sasa imeingia katika hatua ya 16 bora baada ya hatua ya makundi kumalizika na hatimaye kupatikana timu hizo ambazo zitawania kuingia robo fainali. Licha ya Tanzania kutolewa katika michuano hiyo mawakala wengi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks