Banda Kuvuna Mamilioni Richard Bay
Beki Mtanzania Abdi Banda anajiandaa kupokea Mamilioni kutoka katika Klabu ya Richard Bay inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika ya kusini baada ya kushinda kesi yake dhidi ya klabu hiyo. Banda alifungua kesi katika Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kupitia combo chake maalumu cha kusimamia malalamiko ya mikataba kwa wachezaji ambapo iliamuriwa klabu hiyo imlipe Staa…
