simba pic

Benchika Akalia Kuti Kavu Simba sc

Baadhi ya mabosi wa klabu ya Simba sc wameanza kumtolea macho kocha Abdelhack Benchika kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu ambapo timu hiyo imecheza jumla ya michezo mitano mfululizo bila kupata ushindi. Mabosi hao wameanza kuwa na wasiwasi na mbinu za kocha huyo pamoja na uchaguzi wa kikosi kutokana na kukosa ushindi huku wakikubali kipigo…

Soma Zaidi
simba pic

Benchika Arejea Simba sc

Kocha mkuu wa klabu ya Simba sc Abdelhack Benchika amerejea katika klabu hiyo baada ya kukosekana kwa siku kadhaa kufuatia kuhudhuria mafunzo maalumu ya ukocha nchini kwao Algeria na kuikosa baadhi ya michezo ya ligi kuu ya Nbc ambayo timu hiyo ilicheza. Taarifa ya awali iliyotolewa na klabu hiyo ilisema kuwa kocha huyo angekosekana katika…

Soma Zaidi
406099315 18387291166071034 3848914412928000862 n

Benchika Atambulishwa Simba sc

Klabu ya Simba sc imemtambulisha rasmi kocha Abdelhak Benchikha mbele ya waandishi wa habari kama kocha mkuu wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili akichukua nafasi ya Roberto Oliveira “Robertinho” ambaye aliondoka klabuni hapo kwa makubaliano ya pande mbili. Kocha huyo wa zamani wa Usm Algers ametua klabuni hapo akiwa na wasaidizi wake wawili…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks