Lebo: Bodi ya ligi
Mastaa Tabora United Wagoma Kusafiri Tanga
Hali ni tete katika kambi ya timu ya Tabora United kufuatia mastaa wa timu hiyo kutishia kugomea mchezo wa mwisho wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union mpaka pale madai yao ya mishahara yatakapolipwa. Kikosi cha Tabora United kilipaswa kusafiri juni 20 2025 asubuhi kuelekea Tanga kwa ajili ya mchezo wa mwisho dhidi ya Coastal…
Yanga Sc Yakomaa na Bodi ya Ligi
Klabu ya Yanga Sc imethibitisha leo kushiriki kikao maalumu na bodi ya ligi kuu Tanzania kwa ajili ya kujadili masuala yahusuyo mchezo namba 184 wa ligi kuu ya Nbc dhidi ya Simba kilichofanyika katika ofisi za bodi ya ligi jijini Dar es Salaam. Taarifa ya leo Juni 9, 2025 iliyotolewa na kamati ya utendaji ya…
Henry Sasii Afungiwa Miezi 6
Mwamuzi Hery Sasii amefungiwa miezi sita kufuatia kushindwa kumudu mchezo wa #Ligi kuu ya Nbc nchini kati ya Simba dhidi ya Singida Black stars kwa kufanya maamuzi mengi yaliyoashiria kushindwa kutafsiri sheria 17 za mpira wa miguu. Sasii ambaye ni miongoni mwa waamuzi wachache wenye beji ya Fifa amefungiwa na kamati maalumu ya kusimamia bodi…
Mukwala Atwaa Tuzo Machi 2025
Mshambuliaji wa klabu ya Simba sc Stephen Desse Mukwala amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Nbc kwa mwezi machi akiwashinda Ellie Mpanzu na Pascal Msindo wa klabu ya Azam Fc ambao aliingia nao Fainali. Kamati ya Tuzo iliyochini ya bodi ya ligi kuu ilimchagua Mukwala kutokana na kuonyesha kiwango kizuri akifunga mabao manne…
Lawi Hatihati Ubelgiji
Taarifa kutoka nchini Ubelgiji zinadai kuwa staa wa klabu ya Coastal Union Lameck Lawi yuko mbioni kurejea nchini baada ya kufeli majaribio katika klabu ya K.A.A Gent inayoshiriki ligi kuu nchini humo. Awali Taarifa zilisema kuwa Lawi ambaye aligomewa kujiunga na Simba sc na Uongozi wa klabu hiyo kwa kuwa anadili nchini humo la kusajiliwa…
Aziz Ki Atwaa Tuzo Oktoba
Bodi ya ligi kuu nchini imemtangaza kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Stephane Aziz Ki kuwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa ligi kuu nchini akiwashinda Moses Phiri wa Simba sc na Maxi Nzengeli wa Yanga sc. Ki ametwaa tuzo hiyo inayodhaminiwa na Azam Tv ambapo kwa mwezi huo wa oktoba amefanikiwa kufunga jumla…
Mudathir,Feisal Wasalimika Kifungo
Wachezaji Feisal Salum wa Azam Fc na Mudathir Yahya Abass wa Yanga sc wameepuka adhabu ya kufungiwa na bodi ya ligi baada ya kufanya kosa la kutosalimiana na wachezaji na waamuzi wakati wa mchezo wa ligi kuu uliozikutanisha timu hizo siku ya Jumatatu Oktoba 23 mwaka huu. Katika mchezo huo baada ya timu zote mbili…
Kmc Yatawala Tuzo Septemba
Kocha AbdulHamid Moallin pamoja na mchezaji Waziri Junior wamefanikiwa kuchukua tuzo za kocha bora na mchezaji bora wa mwezi septemba kutoka na taarifa iliyotolewa na bodi ya ligi kuu nchini. Waziri amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo akiwashinda Jean Baleke wa Simba na John Nakibinge wa Tabora United alioingia nao fainali. Moalin amefanikiwa kuchukua tuzo hiyo akiwazidi…
