Snapinsta.app 395397587 857948292997712 5556075380858284505 n 1080

Bondia Mtanzania Fadhili Majiha ‘Kiepe Nyani’ ambaye ni bingwa wa mkanda wa WBC Afrika ameweka rekodi ya kuwa Bondia wa kwanza nchini kupata hadhi ya nyota nne na nusu akivunja rekodi ya  mabondia Hassan Mwanyiko na Tony Rashid katika Mtandao wa maalumu wa Takwimu za mabondia wa Boxrec. Bondia huyo amefikia kiwango hicho wiki moja baada…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks