Aziz Ki Atemwa,Beki Simba Sc Akiitwa B/Faso
Wakati Beki wa kushoto wa klabu ya Simba Sc Valentin Nouma amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso (The Stallions), kinachojiandaa kucheza michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025,Kocha wa Taifa hilo amemtema nyota wa klabu ya Yanga Sc Stephane Aziz KI tofauti na matarajio ya wengi. Kikosi cha Burkina Faso kitacheza dhidi…
