Yanga Sc
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited
Yanga Sc
Klabu ya Simba SC imeanza vyema kampeni zake za hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Gaborone United …
Caf
Mshambuliaji Fiston Mayele ameibuka mshindi wa tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika (Cafcl) baada ya kufunga mabao sita akiwaacha Emam Ashour wa Al Ahly na …
Mshambuliaji wa klabu ya Pyramid Fc Fiston Mayele ameivusha klabu hiyo kwenda hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Klabu bingwa barani Afrika baada ya kufunga mabao mawili katika …
Mchezaji wa Klabu ya Yanga sc Shadrack Boka amefiwa na baba yake mzazi msiba uliotokea juzi tarehe 11/01/2025 huko nyumbani kwao Jijini Kinshasa nchini Congo Drc. Taarifa za kifo chake …
Ushindi wa 1-0 ulioupata klabu ya Yanga sc dhidi ya Klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan umeiweka timu hiyo katika matumaini makubwa ya kufuzu robo fainali ya michuano ya …
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Sc Clement Mzize, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Mchezaji huyo mwenye …
Klabu ya Yanga sc imezidi kunogesha safari yake ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la Klabu bingwa barani Afrika baada ya kupata ushindi wa mabao 3-1 …
Kocha mkuu wa klabu ya Yanga sc Sead Ramovic ameahidi kuendelea kutumia mfumo wake wa kushambulia zaidi kuelekea mchezo wa kesho wa hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Afrika …
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited