Screenshot 20250602 152516 Instagram

Mayele Abeba Tuzo Cafcl

Mshambuliaji Fiston Mayele ameibuka mshindi wa tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika (Cafcl) baada ya kufunga mabao sita akiwaacha Emam Ashour wa Al Ahly na Ibrahim Adel wa Pyramids wenye mabao matano kila mmoja. Fiston Mayele amewapiku wenzake baada ya kufunga bao la utangulizi kwa Pyramids kwenye mchezo wa Fainali…

Soma Zaidi
Screenshot 20250114 104958 Instagram

Boka Afiwa na Baba Mzazi

Mchezaji wa Klabu ya Yanga sc Shadrack Boka amefiwa na baba yake mzazi msiba uliotokea juzi tarehe 11/01/2025 huko nyumbani kwao Jijini Kinshasa nchini Congo Drc. Taarifa za kifo chake zimetolewa na Uongozi wa Klabu yake ya Yanga Sc katika mitandao ya kijamii ya klabu hiyo. “Uongozi wa Young Africans Sports Club tunapenda kutoa pole…

Soma Zaidi
FB IMG 1733307850707

Caf Yaibeba Yanga Sc Algeria

Shirikisho la Soka barani Afrika (Caf) limetoa uamuzi wa kutobadili uwanja wa mechi kama ilivyoomba timu ya Mc Algers kuekea mchezo wa Kundi wa kombe la Klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Yanga sc. Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja wa mechi kutoka 5 July…

Soma Zaidi
FB IMG 1732198465549

Waarabu Watua Kuivaa Yanga Sc

Kikosi Cha Klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan tayari kimewasili Tanzania alfajiri ya leo Novemba 20,2024 kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Yanga SC utakaochezwa Novemba 26,2024 katika uwanja wa Benjamin mkapa. Msafara wa watu zaidi ya Arobaini umetua mapema asubuhi ya Novemba 20 2024 katika uwanja wa ndege wa…

Soma Zaidi
Screenshot 20241102 080235 Instagram

Simba Kileleni Ligi kuu

Klabu ya Simba Sc imesalia kileleni mwa ligi kuu ya soka ya Nbc nchini huku ligi hiyo ikisimama kupisha michuano ya kimataifa kwa wiki mbili mpaka Novemba 20. Tayari mastaa wa baadhi za klabu za ligi kuu nchini wakiwa wamesafiri kujiunga na timu zao za Taifa na wakiiacha Simba sc kileleni mwa msimamo wa ligi…

Soma Zaidi
simba pic

“Naitaka Nusu Fainali” Benchika Atamba

Kocha wa klabu ya Simba sc Abdelhack Benchika ametamba kuwa anataka kikosi hicho kifuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika ambapo leo usiku wataivaa Al Ahly Fc katika mchezo utakaofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Benchika amesema hayo wakati wa mkutano na vyombo vya habari kuelekea…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 418986826 18315180244135476 32341538293584539 n 1080

Yanga Sc Kamili Gado

Kuelekea mchezo wa hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika kikosi kamili cha Yanga sc kimeshiriki mazoezi ya jana jioni machi 28 kujiandaa na mchezo huo wa kwanza utakaofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam. Mastaa waliokua timu za Taifa Djigui Diarra,Kennedy Musonda,Pacome Zouzoua,Stephane Aziz Ki na Bakari…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks