Yanga Sc - sportsleo.co.tz

Yanga Sc Mabingwa Crdb Cup

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuchukua ubingwa wa kombe la shirikisho la Crdb nchini baada ya kuifunga timu ya Singida Black Stars kwa mabao 2-0 katika mchezo uliofanyika Visiwani Zanzibar katika uwanja wa New Amaani Complex. Mchezo huo uliokua na burudani ya kutosha kutokana na kasi ya mchezo ulikua mgumu kutabiri nani ataibuka na ushindi…

Soma Zaidi
446642090 1017843963034868 5446988782811895545 n

Yanga Sc Mabingwa Crdb Cup

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuibuka mabingwa wa kombe la Shirikisho la Crdb baada ya kuifunga Azam Fc kwa mikwaju ya penati 6-5 baada ya kila timu kupiga penati 9 kutokana na kutopatikana kwa mshindi katika dakika 90 na 30 za nyongeza. Kocha Miguel Gamond aliamua kumuanzisha Pacome Zouzou,Maxi Nzengeli sambamba na Stephane Aziz Ki…

Soma Zaidi
444136388 1007855114033753 3428111712897023866 n

Yanga sc Watua Arusha Kibabe

Kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara 2023/2024, Yanga kimewasili jijini Arusha leo na kitacheza mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Ihefu Mei 19, 2024 kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta, kuanzia saa 9:30 Alasiri. Katika msafara wa klabu hiyo mastaa kama Khalid Aucho,Kennedy Musonda na wengine walionekana wakishuka…

Soma Zaidi
440964121 998330588319539 2456452912589008258 n

Yanga Sc Kuivaa Ihefu Crdb Cup

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la shirikisho la Crdb baada ya kuifunga Tabora United 3-0 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika katika uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es salaam. Yanga sc ikianza na safu ya ushambuliaji ya Clement Mzize na Aziz Ki ilipata shida kulifikia…

Soma Zaidi
images 1

Pacome Hati Hati Yanga sc

Kocha wa klabu ya Yanga Sc Miguel Gamondi amesema kwamba bado mashabiki wa Yanga Sc wasitegemee uwepo wa Pacome ZouZoua kwani bado hajawa sawa kwa asilimia 100% na anaweza kuwepo katika mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Tabora United ama wategemee mchezaji huo kumuona kwenye mchezo mwingine Gamondi amesema hayo mapema hii leo alipokua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks