Yanga Sc Yaigomea TFF
Klabu ya Yanga sc imeendelea na msimamo wake wa kuhitaji fedha zake za ubingwa wa Kombe la shirikisho la Crdb nchini kwa misimu mitatu mfululizo licha ya kuitwa na shirikisho la soka nchini (TFF) kwa ajili ya kikao. Mapema hivi leo mtendaji mkuu wa klabu hiyo Andre Mtine alifika katika ofisi za Shirikisho hilo akiwa…
