Dodoma Jiji, Simba SC Wapigwa Faini Baada ya Matukio ya Utata Uwanja wa Jamhuri Dodoma-www.sportsleo.co.tz

Dodoma Jiji, Simba SC Wapigwa Faini Baada ya Matukio ya Utata Uwanja wa Jamhuri Dodoma

Dodoma Jiji, Simba SC wapigwa faini kufuatia matukio ya utata katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Soma sababu za adhabu kwa Simba SC, Dodoma Jiji, mshambuliaji Gomez pamoja na mwamuzi wa akiba. Jedwali la Yaliyomo (Table of Contents) Utangulizi wa Sakata la Faini Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea kushuhudia ushindani mkubwa…

Soma Zaidi
Screenshot 20250623 135857 Instagram

Yanga Sc Yaendeleza 5G

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuchukua alama tatu katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini dhidi ya Klabu ya Dodoma Jiji Fc baada ya kuifunga kwa mabao 5-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Amaani Visiwani Zanzibar. Yanga sc ilianza kuandika bao la mapema dakika ya 4 kupitia kwa Cletous Chama aliyepokea pasi nzuri…

Soma Zaidi
Screenshot 20250620 230912 Instagram

Ajibu Apigwa ‘Stop’ Dodoma Jiji

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Dodoma Jiji Ibrahim Ajibu amesimamishwa na uongozi wa klabu hiyo sambamba na golikipa wa klabu hiyo Allan Ngereka kwa utovu wa nidhamu kambini. Kwa mujibu wa afisa habari wa klabu hiyo Moses Mpunga amethibitisha kuwa wachezaji hao wawili wa klabu hiyo yenye makazi yake jijini Dodoma wamesimamishwa kwa matukio ya…

Soma Zaidi
Screenshot 20250213 203712 Instagram

Waziri Jr Atua Iraq

Mshambuliaji wa timu ya Dodoma Jiji Fc Wazir Jr Shentembo amejiunga na Al Mina’a FC inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Iraq akiungana na Mtanzania Simon Msuva anayekipiga katika timu ya Al Talaba.   Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga 2020/21 pamoja na klabu za Mbao Fc na Kmc amesaini mkataba wa miezi sita kujiunga na…

Soma Zaidi
Screenshot 20250129 174813 Instagram

Dodoma Jiji Kuweka Kambi Arusha

Klabu ya Soka ya Dodoma Jiji Fc imepanga kwenda kuweka kambi maalumu ya mafunzo jijini Arusha ili kujiandaa na michezo ya duru ya pili ya ligi kuu ya Nbc nchini. Katika Kambi hiyo timu hiyo pamoja na Mafunzo pia  imepanga kucheza michezo miwili ya kirafiki kujiandaa na michezo ya Ligi kuu ambapo itaanza kuzisaka alama…

Soma Zaidi
maxresdefault 1 1

Mexime Atua Dodoma Jiji

Aliyekua kocha wa Ihefu Fc(Sasa Singida Black Stars) Mecky Mexime ametua rasmi katika klabu ya Dodoma Jiji Fc kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo kwa msimu wa ligi kuu wa 2024/2025 ambapo tayari klabu hiyo imemtangaza rasmi hii leo. Mecky aliachana na Singida Black Stars ambayo aliitumikia msimu uliopita wa ligi kuu ya soka ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks