Cameroon Fecafoot has made a decision for Etoo

Etoo Kujiuzuru Urais Cameroon

Rais wa Shirikisho la soka nchini Cameroon (Fecafoot) Samuel Etoo ameandika barua ya kujiuzuru nafasi yake hiyo kutokana na timu ya Taifa ya nchini kufanya vibaya katika michuano ya mataifa ya Afrika(Afcon 2023) yanayoendelea nchini Ivory Coast. Cameroon ilitolewa katika michuano hiyo katika hatua ya 16 bora baada ya kufungwa mabao 2-0 na Nigeria katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks